Ofisi ya Waziri Mkuu - Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa

Halmashauri ya Wilaya ya Masasi

nunua

    Utoaji  wa huduma kwa simu za mkononi utarahisisha upatikanaji wa huduma hizo kwa kuokoa fedha na muda. Hivyo, Wakala inaandaa utaratibu wa kuwezesha taasisi za za umma kutoa huduma kwa kutumia simu za mkononi ili ziweze kutatua matatizo ya wananchi kwa haraka na kwa ufanisi.

Juhudi hiyo ni fursa kubwa ya kuongeza uwezo wa huduma za simu za mkononi kuwafikishia huduma wananchi wengi na jamii kwa jumla.Utoaji  wa huduma kwa simu za mkononi utarahisisha upatikanaji wa huduma hizo kwa kuokoa fedha na muda. Hivyo, Wakala inaandaa utaratibu wa kuwezesha taasisi za za umma kutoa huduma kwa kutumia simu za mkononi ili ziweze kutatua matatizo ya wananchi kwa haraka na kwa ufanisi.

Juhudi hiyo ni fursa kubwa ya kuongeza uwezo wa huduma za simu za mkononi kuwafikishia huduma wananchi wengi na jamii kwa jumla.